Mhubiri 5 : 16 Ecclesiastes chapter 5 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Mhubiri 5:16
Hiyo ndiyo balaa mbaya sana, ya kwamba kama vile alivyokuja, vivyo hivyo atakwenda zake; naye amefaidiwa nini mwenye kujitaabisha kwa ajili ya upepo?
|
Ecclesiastes 5:16This also is a grievous evil, that in all points as he came, so shall he go. And what profit does he have who labors for the wind? |